Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Fungu La Posho

Mtunzi: Apolinary A. Mwang'enda
> Mfahamu Zaidi Apolinary A. Mwang'enda
> Tazama Nyimbo nyingine za Apolinary A. Mwang'enda

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: APOLINARY MWANG'ENDA

Umepakuliwa mara 943 | Umetazamwa mara 2,419

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana ndiye fungu la posho langu ndiye fungu la posho langu na la kikombe chako wewe unaishika kura yangu x2

1. Mungu unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewe nimemwambia bwana ndiwe bwana wangu

2. Nitamhimidi Bwana bwana aliyenipa shauri Naam mtima wangu umenifundisha usiku.

3. Nimemweka bwana bwana mbele yangu daima kwakuwa yuko kuumeni kwangu sitaondoshwa

4. kwahiyo moyo wangu unafurahia utukufu utukufu na utukufu wangu unashangilia


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa