Ingia / Jisajili

Ee Bwana Yote Uliyotutendea

Mtunzi: Dr. Basil B. Tumaini
> Mfahamu Zaidi Dr. Basil B. Tumaini
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. Basil B. Tumaini

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Basil Tumaini

Umepakuliwa mara 3,840 | Umetazamwa mara 7,504

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

EE BWANA YOTE ULIYOTUTENDEA (Tazama: Dan. 3:31, 29, 30,42, 40)

Mwanzo: Jumapili ya 26 ya mwaka

Mtunzi: Dr. Basil Tumaini (0767 847 258)

Wimbo wa Azaria katika tanuru. (Dan. 3:24-45)

Kiitikio:

Ee Bwana, yote uliyotutendea umeyatenda kwa haki, Kwa kuwa sisi tumetenda dhambi wala hatukuzitii amri zako.

Viimbizi:

1. Ulitukuze jina lako na kututendea sawa sawa na wingi wa huruma zako.

2.Tukufuate wewe kwa unyofu, maana wanaokutumaini Wewe hawataaibika.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa