Ingia / Jisajili

Kuelekea Uchaguzi Mkuu Wa 2015

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Anthem

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 2,606 | Umetazamwa mara 3,699

Download Nota
Maneno ya wimbo

Mashairi(Soprano/Solo)

1. Kuelekea uchaguzi mkuu wa uraisi na wabunge, wa-Tanzania tuamke tunapowachagua viongozi wetu

2. Tanzania yenye amani inawezekana kama tukiwachagua viongozi wenye hofu na Mungu

Bridge/Kiunganishi:

(Tukachague viongozi safi wenye uadilifu) watakaosimamia tunu za nchi yetu

Kiitikio(wote/tutti):

Tunahitaji viongozi makini, tunahitaji viongozi wacha Mungu,tunahitaji viongozi wazalendo kuijenga Tanzania,Tanzania itajengwa na viongozi wazalendo wenye hofu na Mungu,Tanzania itajengwa na viongozi wenye uadilifu ili kudumisha utulivu pia umoja na mshikamano kwani ndizo tunu zetu waTanzania, hivi vyote vitaletwa na viongozi tutakaowachagua.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa