Ingia / Jisajili

Mungu Unihifadhi Mimi

Mtunzi: Alfred Ogombo
> Mfahamu Zaidi Alfred Ogombo
> Tazama Nyimbo nyingine za Alfred Ogombo

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Alfred Ogombo

Umepakuliwa mara 1,209 | Umetazamwa mara 4,360

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Mungu unihifadhi mimi, kwa maana nakukimbilia,

kwa maana nakukimbilia kwa maana nakukimbilia (naku)kimbilia Wewe

1.Bwana ndiye fungu la posho langu waishika kura yangu,

   nimemweka mbele yangu daima –

   kwa kuwa yuko kuume kwangu sitaondoshwa

2.Moyo wafurahi mwili wangu utakaa kwa kutumaini,

    hutaniacha kuzimu wala –

    Mtakatifu wako hataona uharibifu

3.Utanijulisha njia ya uzima mbele ya uso wako,

   ziko furaha tele na katika –

   mkono wako wa kiume mna mema ya milele


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa