Ingia / Jisajili

Uturehemu Ee Bwana

Mtunzi: Alfred Ogombo
> Mfahamu Zaidi Alfred Ogombo
> Tazama Nyimbo nyingine za Alfred Ogombo

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Zaburi

Umepakiwa na: Alfred Ogombo

Umepakuliwa mara 933 | Umetazamwa mara 3,844

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Uturehemu ee Bwana kwa kuwa tumetenda, kwa kuwa tumetenda dhambi x2

Ee Mungu unirehemu sawasawa na fadhili zako,

Kiasi cha wingi wa rehema zako uyafute, makosa

yangu, unioshe kabisa – na uovu wangu unitakase dhambi, 'nitakase dhambi zangu

Maana nimejua mimi makosa yangu,

Na dhambi yangu i mbele yangu daima,

Nimekutenda ndambi Wewe pekee yako – Na kufanya maovu, mbele za macho yako

Ee Mungu uniumbie moyo safi, uifanye upya roho

iliyotulia ndani yangu

Usinitenge na uso wako, wala roho yako – mtakatifu, usiniondolee

Unirudishie furaha ya wokovu wako

Unitegemeze kwa roho ya wepesi – Bwana

uifumbue midomo yangu na kinywa changu

kitazinena, sifa zako Bwana

Uturehemu ee Bwana kwa kuwa tumetenda, kwa kuwa tumetenda dhambi x2


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa