Ingia / Jisajili

Mungu wangu mbona umeniacha

Mtunzi: Michael Mhanila
> Mfahamu Zaidi Michael Mhanila
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Mhanila

Makundi Nyimbo: Juma Kuu | Mazishi

Umepakiwa na: Michael Mhanila

Umepakuliwa mara 398 | Umetazamwa mara 1,619

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Mungu wangu mbona umeniachax 2

1. wote wanionao hunicheka sana , hunifyonya wakitikisa vichwa vyao

2. husema umtegemee Bwana na amponye, na amwokoe sasa maana apendezwa naye

3.kwa maana mbwa wengi wamenizunguka, kundi la waovu wamenizingira

4.wanagawanya nguo zangu na vazi langu wanalipigia kura

5.nawe Bwana usiwe mbali ,Ee Mungu wangu fanya haraka kunisaidia

6.nitalihubiri jina lako kwa ndugu zangu, katikati ya kusanyiko nitakusifu

7.ninyi mnaomha Bwana msifuni, enyi nyote mlio wazapo wa yakobo mtukuzeni


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa