Ingia / Jisajili

Ingekuwa Heri Leo

Mtunzi: Michael Mhanila
> Mfahamu Zaidi Michael Mhanila
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Mhanila

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Michael Mhanila

Umepakuliwa mara 874 | Umetazamwa mara 3,405

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 18 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ingekuwa heri leo tusikie sauti yake tusifanye migumu migumu mioyo yetu njoni njoni tuabudu tusujudu tupige magoti mbele za Bwana  Bwana aliyetuumba Bwana aliyetuumba kwa maana ndiye Mungu wetu na sisi tu watu wa malisho yake na kondoo kondoo za mkono wake     1.Njoni tumwimbie Bwana tumfanyie shangwe tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu 2.Tuje mbele yake kwa shukrani tumfanyie shangwe shangwe shangwe kwa zaburi 3.Hapo waliponijaribu nijaribu baba zenu wakanipima wakaona matendo yangu


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa