Ingia / Jisajili

Utanijulisha njia ya uzima

Mtunzi: Michael Mhanila
> Mfahamu Zaidi Michael Mhanila
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Mhanila

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Michael Mhanila

Umepakuliwa mara 481 | Umetazamwa mara 1,344

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Utanijulisha njia ya uzima mbele za uso wako zikofuraha tele na katika mkono wako wa kuume mna mema ya milele 1.Mungu unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewenimemwambia Bwana ndiwe Bwana wangu Bwana Ndiye fungu la posho yangu na kikombe changu wewe waishika kura yangu 2. Nitamhimidi Bwana alienipa shauri mtima wangu umenifundisha usiku nimemweka Bwana mbele yangu daima kwa kuwa yuko kuumeni kwangu sitaondoshwa 3. kwa hiyo moyo wangu unafurahi nao utukufu wangu unashangilia naam mwili wangu utakaa kwa kutumaini maana hatakuachia kuzimu nafsi yangu wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa