Maneno ya wimbo
                Utanijulisha njia ya uzima mbele za uso wako zikofuraha tele na katika mkono wako wa kuume mna mema ya milele
1.Mungu unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewenimemwambia Bwana ndiwe Bwana wangu Bwana Ndiye fungu la posho yangu na kikombe changu wewe waishika kura yangu
2. Nitamhimidi Bwana alienipa shauri mtima wangu umenifundisha usiku nimemweka Bwana mbele yangu daima kwa kuwa yuko kuumeni kwangu sitaondoshwa
3. kwa hiyo moyo wangu unafurahi nao utukufu wangu unashangilia naam mwili wangu utakaa kwa kutumaini maana hatakuachia kuzimu nafsi yangu wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu
            
                                    
                Nyimbo nyingine za mtunzi huyu