Ingia / Jisajili

Nalimlilia Mungu

Mtunzi: Mayebwa.ii.ek.
> Mfahamu Zaidi Mayebwa.ii.ek.
> Tazama Nyimbo nyingine za Mayebwa.ii.ek.

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Mika Wihuba

Umepakuliwa mara 169 | Umetazamwa mara 1,071

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

(Nalimlilia Mungu, kwa unyonge Mungu wangu) akaniepusha na adui yule mwovu x2 {sasa niko juu kutangaza neno lake Mungu msingi wake uko juu ya kilima x2}

1.Ee Bwana, nikuombapo wewe, usikilize sauti, sauti ya Dua zangu.

2.Ee Bwana, unifadhili mimi, ninakulilia Bwana mchana usiku kucha.

3.Ee Mungu, wa Rehema na Neema, mvumilivu na wingi wa Fadhili na kweli


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa