Ingia / Jisajili

Nikitafakari Ulivyoniumba

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,260 | Umetazamwa mara 3,755

Download Nota
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Nikitafakari jinsi ulivyoniumba nashangaa sana Ee Mungu nashangaa sana (x2)

Mashairi:

1. Ulivyoniumba (Mungu wangu) kweli ni ajabu (ni ajabu sana) nashangaa sana Ee Mungu nashangaa sana.

2.Ninavyotembea (kwa maringo) kweli ni ajabu (ni ajabu sana) nashangaa sana Ee Mungu nashangaa sana.

3. Ninavyoongea (Ee Mungu) kweli ni ajabu (ni ajabu sana) nashangaa sana Ee Mungu nashangaa sana.

4. Na utashi wangu (Hakika) kweli ni ajabu (ni ajabu sana) nashangaa sana  Ee Mungu nashangaa sana.


Maoni - Toa Maoni

david Jul 09, 2017
wimbo poa

Toa Maoni yako hapa