Ingia / Jisajili

Jiwe Walilokataa

Mtunzi: Elijah M Kilonzi
> Mfahamu Zaidi Elijah M Kilonzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Elijah M Kilonzi

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Pasaka

Umepakiwa na: ELIJAH Mulei

Umepakuliwa mara 370 | Umetazamwa mara 1,456

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Jiwe walilokataa waashi limekuwa la pembeni; jiwe hilo ni Yesu Masiha mkombozi wa ulimwengu, jiwe hilo sasa ndilo la pembeni.

1.Ishara zake zilidhihirisha yeye ndiye Masiha; hata hivyo alikataliwa

2.Ni mara ngapi tumemkataa huyu wetu Masiha kwa maneno pia kwa vitendo

3.Tujue kwamba Yesu ndiye njia, ukweli, uzima; tumfuate tusijepotea

4.'Sijali ndugu ukikataliwa kwa sababu yake; tuzo yako utapewa mbinguni.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa