Ingia / Jisajili

Bwana Wetu Ni Mkuu

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 413 | Umetazamwa mara 2,141

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Bwana wetu ni mkuu na mwingi wa nguvu, akili zake hazina mipaka x2.

Bwana huwategemeza, wenye upole, huwaangushachini wenye jeuri x 2.

Mashairi:

1. Aleluya msifuni Bwana, maana ni vema kumwimbia Mungu wetu maana kwapendeza kusifu ni kuzuri.

2. Bwana, ndiye, aijengaye Yerusalemu, huwakusanya waliotawanyika wa Israeli.

3. Huwaponya waliopondeka waliopondeka moyo, na kuziganga jeraha zao jeraha zao.


Maoni - Toa Maoni

Ignas Lupa Jun 14, 2016
Tulijenge Kanisa kwa kuwa wamoja.

Toa Maoni yako hapa