Ingia / Jisajili

Hakuna Aliyekuhukumu

Mtunzi: James Muola Vavu
> Mfahamu Zaidi James Muola Vavu
> Tazama Nyimbo nyingine za James Muola Vavu

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio | Kwaresma

Umepakiwa na: James Vavu

Umepakuliwa mara 354 | Umetazamwa mara 1,300

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

HAKUNA ALIYEKUHUKUMU

Yohane 8: 10 – 11, Zaburi 32: 2, 3 & 5

Mwanamke, hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?

Hakuna Bwana.

Wala mimi sikuhukumu.

Enenda zako,                                                                                               

Wala usitende dhambi tena.         

 

1.     Heri Bwana asiyemhesabia,

        Upotovu ambaye rohoni mwake,

        Hamna, hamna hila.

 

2.     Niliponyamaza mifupa yangu

        Ilichakaa kwa kuugua kwangu

        Mchana, mchana kutwa.

 

3.     Nilikujulisha dhambi, dhambi yangu

        Wala sikuficha upotovu wangu,

        Upotovu, upotovu wangu.

 

4.     Nalisema nitayakiri makosa

        Yangu kwa Bwana nawe ukanisamehe,

        Upotovu wa dhambi yangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa