Ingia / Jisajili

Kwa Heshima Tujongee Meza

Mtunzi: Elijah M Kilonzi
> Mfahamu Zaidi Elijah M Kilonzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Elijah M Kilonzi

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: ELIJAH Mulei

Umepakuliwa mara 11 | Umetazamwa mara 26

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
{Kwa heshima na upole tujongee meza ya Bwana, karamu ya Bwana itayari} X2 {Ni chakula cha uzima (pia) chenya neema tele (kweli), karamu ya Bwana itayari} X2 1. Ni mwili wake Kristu na damu yake Kristu alizotoa kama chakula kwetu wakristu 2. Kwa mwili wake Kristu na damu yake Kristu tunapokea uzima kweli rohoni mwetu 3. Kwa mwili wake Kristu na damu yak e Kristu tunapokea neema maishani mwetu 4. Kwa mwili wako Kristu na damu yako Kristu utujalie nguvu tishinde maovu yote

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa