Ingia / Jisajili

Sadaka Yetu Uipokee

Mtunzi: Elijah M Kilonzi
> Mfahamu Zaidi Elijah M Kilonzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Elijah M Kilonzi

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: ELIJAH Mulei

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1. Twende ndugu twende mbele za Bwana; tupeleke kwake sadaka yetu

Japo ni kidogo Baba twaomba; ipokee Baba uibariki

Sadaka yetu (sadaka) kwako ee Baba, japo kidogo (ee Baba) uipokee; ikupendeze kama ile ya Abeli X2

2. Mkate kutoka mti wa ngano; ungeuze huwe mwili wa Yesu

Na divai toka kwa mzabibu; ingeuze iwe damu ya Yesu

3. Fedha tupatazo kwa kazi zetu; twazileta kwako Baba pokea

Mavuno, mifugo pia twaleta; ni sadaka yetu Baba pokea

4. Nyoyo zetu Baba twakutolea; pia nia zetu Baba pokea

Shukurani zetu twakutolea; ni sadaka yetu Baba pokea.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa