Ingia / Jisajili

Ninakulilia

Mtunzi: Elijah M Kilonzi
> Mfahamu Zaidi Elijah M Kilonzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Elijah M Kilonzi

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: ELIJAH Mulei

Umepakuliwa mara 317 | Umetazamwa mara 1,441

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana, ee Bwana ewe Mungu wangu, ee Bwana ninakulilia; ndiwe kimbilio langu; bila wewe Bwana siwezi chochote.

1. Nayainua macho kwako ewe Bwana, usiufiche uso wako ewe Bwana

2. Nimeandamwa sana na adui wangu, nishike mkono Bwana nisiaibike

3. Shetani anakuja na ahadi tele, nifuate njia zeke nisikufuate

4. Nimejaribu mengi sijafanikiwa, sasa nakuja kwako Bwana niongoze


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa