Ingia / Jisajili

Nikupe Nini

Mtunzi: Felix Owino
> Mfahamu Zaidi Felix Owino
> Tazama Nyimbo nyingine za Felix Owino

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: Felix Owino

Umepakuliwa mara 19 | Umetazamwa mara 18

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Nikupe nini Mungu wangu cha kukupendeza, ninaleta matoleo yangu uyapokee x2; Kwa huruma yako Bwana uyapokee, japo ni dhaifu Bwana nina kuomba uyapokee x2

1.Mali yako yote, narudisha kwako, kama shukurani, yangu kwako Bwana.

2.Nanyi ndugu zangu, ninawasihi, tupeleke kwake, alotujalia.

3.Hicho uloandaa, jiulize ndugu, je kinalingana, na wema wa Mungu.

4.Tutafakarini, tusimuibie, maana vitu vyote, ni mali ya Mungu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa