Ingia / Jisajili

Njoni Tupongeze Bikira Maria

Mtunzi: Elijah M Kilonzi
> Mfahamu Zaidi Elijah M Kilonzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Elijah M Kilonzi

Makundi Nyimbo: Mama Maria

Umepakiwa na: ELIJAH Mulei

Umepakuliwa mara 31 | Umetazamwa mara 51

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Njoni tupongeze bikira Maria X2 {hongera; pongezi kwako ee mama yetu Maria kwa kumzaa mkombozi wa dunia) X2 1. Mama wake Kristu; mama wa neema, umtakatifu, umsafi wa moyo. 2. Usiye na doa, umpendelevu, umstajabivu mama wa mkombozi. 3. Mama wa kanisa, bikra mwaminifu, kioo cha haki, kikao cha hekima 4. Chombo cha neema, mlango wa mbingu, kimbilio letu, msaada wa wakristu

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa