Ingia / Jisajili

Sitawaacha Ninyi Yatima

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 906 | Umetazamwa mara 5,089

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Bwana asema, Sitawaacha ninyi yatima, sitawaacha ninyi yatima naja kwenu na mioyo zenu zitajawa na furaha

Mashairi:

1. Nami nitamwomba Baba naye atawapa msaidizi mwingine, ili ake nanyi hata milele.

2. Ndiye Roho wa kweli, ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui, bali ninyi mnamtambua, maana anakaa anakaa kwetu, naye atakuwa ndani yenu.

3. Bado kitambo kidogo, ulimwengu haunioni tena mimi, bali ninyi mnaniona, kwa sababu ni ngali hai mimi, ninyi nanyi mtakuwa hai.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa