Ingia / Jisajili

Bwana Amejaa Huruma

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 2,356 | Umetazamwa mara 6,347

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Bwana amejaa huruma, Bwana amejaa huruma, si mwepesi wa hasira ni mwingi wa fadhili x 2.

Mashairi:

1. Ee nafsi yangu umhimidi Bwana, naam na vyote vilivyomo ndani yangu, vilihimidi jina lake takatifu.

2. Akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote, akutia taji ya fadhili na rehema.

3. Aukomboa uhai na kaburi, si mwepesi wa hasira Bwana Mungu wetu, ni mwingi wa fadhili ni mwingi wa fadhili.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa