Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Mchungaji Wangu

Mtunzi: Alfred Ogombo
> Mfahamu Zaidi Alfred Ogombo
> Tazama Nyimbo nyingine za Alfred Ogombo

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Alfred Ogombo

Umepakuliwa mara 2,016 | Umetazamwa mara 5,314

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

[Bwana ndiye mchungaji (Bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu) x2] x2

 1.Kwenye malisho ya majani, kwenye malisho ya majani mabichi hunilaza,

   kando ya maji matulivu - kando ya maji matulivu huniongoza

2.Hunihuisha nafsi yangu, hunihuisha nafsi yangu na kuniongoza,

   katika njia za haki - katika njia za haki kwa’jili ya jina lake

3.Naam nijapopita kati, ya bonde la uvuli wa mauti sitaogopa,

   mabaya Wewe u pamoja nami - gongo lako na fimbo yako vyanifariji

4.Waandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu wanipaka mafuta,

   umenipaka mafuta – kichwani pangu na kikombe changu kinafurika

 5.Hakika wema na fadhili, zitanifuata siku zote za maisha yangu,

   nami nitakaa nyumbani - nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa