Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Mchungaji Wangu

Mtunzi: Br. Stan Mkombo, Ofmcap
> Tazama Nyimbo nyingine za Br. Stan Mkombo, Ofmcap

Makundi Nyimbo: Mazishi | Moyo Mtakatifu wa Yesu | Shukrani | Zaburi

Umepakiwa na: Stanslaus Mkombo

Umepakuliwa mara 2,633 | Umetazamwa mara 6,065

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

BWANA NDIYE MCHUNGAJI  [Br. Stanslaus Mkombo, OFMCap]

//Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu; Katika majani mabichi hunilaza, kwa maji tulivu huniongoza.//x2

1.       Waandaa meza mbe-le yangu, ni machoni pa wate-si wangu; Umenipaka           mafuta kichwani pangu, na kikombe changu cha-furika.(Bwana)

2.       Bwana hunihuisha na kuniongoza, katika haki kwa Ji-na lake; Nijapopita         uvulini mwa mauti, siogopi  kwani u-ko nami.(Bwana)

3.       Gongo lako na fimbo yako vyanilinda, wema na fadhili zanifuata. Kwa siku      zote za maisha yangu yote, nitakaa kwako milele yote.(Bwana)


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa