Ingia / Jisajili

Mungu Ni Baba Wa Huruma

Mtunzi: Br. Stan Mkombo, Ofmcap
> Tazama Nyimbo nyingine za Br. Stan Mkombo, Ofmcap

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Mwaka wa Huruma ya Mungu

Umepakiwa na: Stanslaus Mkombo

Umepakuliwa mara 409 | Umetazamwa mara 2,796

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

MUNGU NI BABA WA HURUMA    [Br. Stanslaus Mkombo, OFMcap.]

Chorus:

Mungu Baba wa huruma ndiye ni Bwana Mungu, mwingi wa huruma:

// (I&II: Ni mwenye fadhili, si mwepesi wa hasira) (II&IV: Ni mwenye fadhili, hakasiriki ovyo), (I-IV) ni mwingi wa rehema na kweli na kweli.

(I&II: Mwenye kuwaonea huruma watu maelfu) (II&IV: Mwenye kuwaonea huruma maelfu), (I-IV) na mwenye kusamehe makosa na dhambi.//

Mashairi

1. Bwana ni mwenye huruma kwa wote wamuitao, ndio wale wamchao na kuzitegemea fadhili zake.

2. Atakasa dhambi zao, aponya magonjwa yao, afuta adhabu zao; Bwa-na hughairi maovu yote.

3. Mtafuteni Bwa-na, ma'damu apatikana mwiteni mwiteni Bwa-na maadamu yu karibu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa