Ingia / Jisajili

Ee Bwana Unisaidie Hima

Mtunzi: Alfred Ogombo
> Mfahamu Zaidi Alfred Ogombo
> Tazama Nyimbo nyingine za Alfred Ogombo

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Alfred Ogombo

Umepakuliwa mara 1,031 | Umetazamwa mara 3,190

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana unisaidie hima unisaidie hima x2

Nalimngoja Bwana kwa zaburi

Akaniinamia akakisikia kilio changu

(Akanipandisha toka shimo) x2 la uharibifu (toka) udongo wa utelezi

Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu

Akatia wimbo mpya kinywani mwangu

Ndio sifa zake Mungu wetu - Wengi wataona na kuogopa

Nao watamtumaini Bwana Nami ni masikini namhitaji Bwana  atanitunza

Ee Bwana unisaidie hima unisaidie hima x2


Maoni - Toa Maoni

Frank Aug 08, 2016
Pongezi kwa ogombo kwa huo wimbo wa zaburi I

Toa Maoni yako hapa