Ingia / Jisajili

Hubirini Kwa Sauti

Mtunzi: Felix Owino
> Mfahamu Zaidi Felix Owino
> Tazama Nyimbo nyingine za Felix Owino

Makundi Nyimbo: Pasaka | Misa

Umepakiwa na: Felix Owino

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 6 Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Hubirini kwa sauti ya kuimba x2; Yatangazeni haya, yatamkeni haya yatamkeni haya, mpaka mwisho wa dunia x2; Semeni Bwana, amelikomboa, semeni Bwana, ameliokomboa Taifa lake x2

1. Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake, wajulisheni watu, matendo yake Bwana.

2. Miisho ya dunia, imeuona wokovu, wokovu wake Mungu, tuimbe aleluya.

3. Taifa la Israeli, kweli amelikomboa, Bwana ni nguvu yetu, milele na milele.

4. Ufufuko wa Bwana, kweli umetuokoa, tufurahini sote, Bwana amefufuka.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa