Ingia / Jisajili

Manabii Wa Uongo

Mtunzi: Alfred Ogombo
> Mfahamu Zaidi Alfred Ogombo
> Tazama Nyimbo nyingine za Alfred Ogombo

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Alfred Ogombo

Umepakuliwa mara 825 | Umetazamwa mara 2,877

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Jihadharini nao (mjihadhari na) manabii wa uongo (watu) wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo,

Walakini (kwa) ndani ni mbwa-mwitu wakali

Jihadharini na manabii manabii wa uongo

1.Mtawatambua kwa matunda yao x2 – Mtawatambua

   kwa matunda kwa matunda yao

2.Je, watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika

   mibaruti? - Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri,

   Na mti mwovu (mti mwovu) – huzaa matunda mabaya

3.Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala

   mti mwovu – kuzaa matunda mazuri, hauwezi

   kuzaa matunda, matunda mazuri

4.Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa

   motoni – Ndiposa kwa matunda (kwa matunda) yao

   mtawatambua, kwa matunda yao mtawatambua


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa