Ingia / Jisajili

Mfalme Wa Amani

Mtunzi: Elijah M Kilonzi
> Mfahamu Zaidi Elijah M Kilonzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Elijah M Kilonzi

Makundi Nyimbo: Matawi

Umepakiwa na: ELIJAH Mulei

Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 4

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Mfalme wa amani anakuja kwetu kwa upole japo yeye mfalme anakuja kwa upole, amebebwa na mwana punda X2

1.       Tandazeni nguo apite, tandazeni matawi apite; mpeni heshima mfalme wa mbingu nan chi, mpeni heshima

2.       Tusafishe na roho zetu ndipo mfalme apate nafasi; tumkaribisha mfalme rohoni mwetu tuishi naye.

3.       Tuigeni mfano wake tuwe tukieneza amani kwa maneno yetu, matendo na mafikira; amani idumu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa