Ingia / Jisajili

Mimi Ni Wokovu

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 842 | Umetazamwa mara 3,452

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 25 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Bwana asema, Mimi ni wokovu, wokovu wa watu x 2. Wakinililia katika taabu yoyote, nami nitawasikiliza nami nitakuwa Bwana wao milele x 2.

Mashairi:

1. Nitakuhimidi Bwana, nitalisifu jina lako daima na milele.

2. Nitamsifu Bwana kila wakati, nitamwimbia nitasema wewe ndiye Mungu wangu.

3.  Bwana ni nuru yangu na mwokozi wangu, ni mwogope nani?, nimwogope nani?


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa