Ingia / Jisajili

Ninatubu Makosa Yangu

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Kwaresma

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 992 | Umetazamwa mara 3,740

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Ninatubu makosa yangu, Ee Baba nisamehe, kwani nimekukosea, wewe Bwana Mungu wa wokovu wangu.

Mashairi:

1. Dhambi zangu ndizo zilizokutesa, hukuwa na makosa mkombozi wangu, Ee Bwana nisamehe.

2. Wewe Bwana wavipenda vitu vyote, wala hukuchukii kitu chochote, ulichokiumba.

3. Utusamehe dhambi tukifanya toba, nakutuhurumia Bwana Mungu wetu, nakutuhurumia.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa