Ingia / Jisajili

Sifuni Enyi Watumishi Wa Bwana

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 941 | Umetazamwa mara 4,488

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Sifuni enyi watumishi wa Bwana, Sifuni enyi watumishi wa Bwana, yatangazeni maajabu ya Mungu mbele ya mataifa yote x 2

Mashairi:

1. Tazama enyi watumishi wa Bwana, mhimidini ninyi mnaosimama usiku, mhimidini katika nyumba yake.

2. Painulieni patakatifu pake mikono yake, na kumhimidi Bwana Mungu wetu.

3. Msifuni Bwana kwa kuwa ni mwema, kwa maana sifa zake ni za milele milele.

4. Najua ya kuwa Bwana yu mkuu, na Bwana wetu yu juu ya miungu yote.


Maoni - Toa Maoni

Alpha Mwembia Aug 24, 2016
Alpha mwembia

Toa Maoni yako hapa