Ingia / Jisajili

Wewe Bwana Umekuwa Makao Yetu

Mtunzi: Alfred Ogombo
> Mfahamu Zaidi Alfred Ogombo
> Tazama Nyimbo nyingine za Alfred Ogombo

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Alfred Ogombo

Umepakuliwa mara 3,572 | Umetazamwa mara 7,886

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

  Wewe Bwana umekuwa makao yetu vizazi baada ya kizazi x2

1.Humrudisha mtu mavumbini usemapo,

   'Rudini enyi wanadamu' maana miaka elfu machoni pako,

   ni kama siku ya jana ikiisha kupita ni kama kesha la usiku

2.Wawagharikisha huwa kama usingizi,

   asubuhi huwa kama majani yameayo asubuhi,

   yachipuka na kumea jioni yakatika na kukauka

3.Basi utujulishe kuzihesabu siku,

   zetu tujipe moyo wa hekima ee Bwana urudi,

   hata lini urudi uwa hurumie watumishi wako

4.'tushibishe asubuhi kwa fadhili zako,

   tutashangilia na kufurahi siku zote uzuri wa,

   Bwana Mungu uwe  juu yetu na kazi ya mikono yake uithibitishe


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa