Ingia / Jisajili

Salamu mama Maria

Mtunzi: Cpa M. B. Ngooh
> Mfahamu Zaidi Cpa M. B. Ngooh
> Tazama Nyimbo nyingine za Cpa M. B. Ngooh

Makundi Nyimbo: Majilio | Mama Maria

Umepakiwa na: Melkior Ngooh

Umepakuliwa mara 1,362 | Umetazamwa mara 4,875

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Malaika Gabriel alitumwa na Mungu kwa Bikira Maria, akamwambia salama uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe. Tazama utachukua mimba na kumzaa mtoto mwanamume jina lake utamwita Yesu X2

Mashairi

1.     Malaika akamwambia usiogope Mariamu kwa maana umepata neema kwa Mungu.

2.     Mariamu akasema, mimi ni mjakazi wa Bwana na iwe kwangu kama ulivyosema.

3.     Malaika akamwambia, huyo atakuwa mkuu ataitwa mwana wa aliye juu.

4.      Malaika akamwambia, Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi Baba yake.

5.     Malaika akamwambia, ataimiliki nyumba ya Yakob hata milele na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa